Matangazo yanakaribishwa katika blog hii,piga simu no 0753 239 687 Email-livinusferuzi@yahoo.com

Saturday, June 29, 2013

MGOGORO WA ARDHI MULEBA

Wanafunzi wa shule ya msingi iliyopo kata ya Mafumbo wakitoka mtoni kuchota maji ukosefu na huduma muhimu shuleni unasababisha kuvurugwa kwa ratiba za masomo .


Ofisi ya kata imefurika watu ingawa hata hawa wanataka kuingia lakini hakuna nafasi.

Hapa wananchi wanabadilishana mawazo kabla ya kufikia muafaka wa mgogoro huo, ambapo wafugaji na wakulima hao walikubaliana kuunda kamati ya kuchunguza ardhi inayodaiwa kuuzwa kinyume cha sheria.

No comments:

Post a Comment