Matangazo yanakaribishwa katika blog hii,piga simu no 0753 239 687 Email-livinusferuzi@yahoo.com

Saturday, June 29, 2013

BIASHARA YA NANASI

Karibu nanasi hapa ni eneo la Kyema Bukoba vijijni wauza nanasi wamesubiri wateja ambao wanaopita barabarani.

Ingawa upatikanaji wa nanasi hapa ni mkubwa lakini soko lake ni kidogo, ambapo nanasi hizo na matunda mengine yanaharibika kutokana na kukosa wateja. 

No comments:

Post a Comment